Ndugu Msomaji…
Leo Nataka Nikuibie Siri ya MATAJIRI Wengi Ambayo
hawataki Uijue Kuhusu Mafanikio…
LAKINI…
Kabla Sijafichua Siri Hizi Kwako Naomba Nianze Kwa
Kukuuliza Hili Swali…
…Je, umewahi kujiuliza jinsi UMASIKINI unavyoweza kukutesa kila siku?
Unapoamka kila siku asubuhi ukiwa na mzigo wa madeni mabegani mwako,
Unabaki unajiuliza Nitaishi Hivi Mpaka Lini?
…Kipato kidogo unachopata hakitoshi kulipa kodi,
ukifikiria kulipa bili za maji na umeme unakosa usingizi kabisa.
NA:
Unalazimika kufanya kazi za mwajiri Wako kama punda,
ukinyanyaswa na kutumikishwa bila hata nafasi ya kupumzika au kufurahia maisha yako.
Pesa unazopata ni za chakula tu, na hata hizo hazitoshi vizuri.
Kila siku ni mapambano Ya Kupata PESA ya Kula Na KODI Ya Nyumba, huku ndoto zako zikizidi kufa Taratibu,
Unajiona kama umezama kwenye bahari ya madeni, kila jaribio la kupanda juu linakuletea deni jipya.
Na mwajiri wako?
Hana huruma Kabisa…
NA;
Unafanya Kazi nyingi, mshahara mdogo, na hakuna…
matumaini ya kuboresha hali yako Ya Maisha
Haya ni maumivu ya kweli ya umaskini.
Naelewa Unavyojisikia…
Maumivu ambayo yanaharibu ndoto Yako, yanaharibu Mahusiano Yako, na yanakufanya uishi kama…
Mfungwa wa madeni na matatizo Kibao.
Je Ungependa Kuyabadilisha MAISHA Yako Leo?
Kama Umejibu NDIYO Basi Soma UJUMBE Huu Mpaka Mwisho Na Ndani Ya Sekunde 60 Zijazo Nitakuonyesha…
…Mfumo Mpya Wa Biashara Utakaokuingizia PESA NYINGI Kama CHUMA ULETE!
Yawezekana Bado Huniamini Si Ndiyo?
Well,
…Ebu Angalia hapa Jinsi Mfumo Huu Wa Biashara
Unavyoningizia MAOKOTO Masaa 24/7 Hata Kama Nimelala…








Hii, Jina Langu Ni Charles Peter,
Naishi, Goba- Dar es Salaam,
…Binafsi Siri Hii nilijifunza 2021 Kutoka Kwa mentor Wangu Dan Lok
Kitu ambacho kilibadilisha Kabisa Mwelekeo wa Maisha
yangu Mpaka Leo
DanLok…Alifanya Utafiti Wa Kisiri Na Akagundua Kwamba:
Watu Wote Waliofanikiwa Wana Sifa Hizi 9 za Lazima…(Unazoweza Kuziiga na Ukafanikiwa pia)
…Na Baada ya Kusoma Vitabu Vya Watu Waliofanikiwa Zaidi ya 79…
Na Hiki Ndicho Nilichokigundua Kuhusu Watu Waliofanikiwa:
NA:
…SIRI Number 8 & 9 Ndiyo Zitakazo Kufanya Ufanikiwe MAISHA Yako Yote Kuanzia Leo
1). Wote wanatafuta MAARIFA Kwa udi na Uvumba:
…Huwezi Kuwa Zaidi ya Jinsi Ulivyo kichwani Mwako…(Utajiri unaanzia Kichwani Ndio Unakuja Mifukoni) Kama Huamini Kuwa Utafanikiwa Kawme! Huwezi Kufanikiwa…
2). Hawana KESHO…wanafanya Kila Kitu Leo Leo
Kesho Haijawahi Kufika… Anza Leo acha Kughairisha Mambo!
3). Toka Kwenye Comfort zone Yako
Wewe ni Zao la Mazingira unayoishi, Watu wanaokuzunguka na aina ya Taarifa unazoingiza kichwani Mwako
4). Pesa unayoitoa Kulipia Maarifa sio Matumizi (Expenses) Bali ni Uwekezaji (Investment)
Pesa unayoitoa Kulipia Maarifa Leo…baadae itarudi X 10 Zaidi
Kwahiyo Lipia Courses, Coaching, Mentorship & Workshop nk
5). Kufeli Kwenye Chochote sio Kitu Kibaya ni Sehemu ya Mchakato
Jiruhusu Kufeli Ili Ukue
Huwezi kukua Bila Kufeli
Kufeli ni kufeli kama Tu hautajifunza Kutoka Kwenye hiyo Failure
Kufeli ni Feedbacks sio Failure
Failure Kubwa Zaidi Kuliko Zote ni Kutofanya Chochote
6). CONSISTENCY Ndio Ufunguo wa Mafanikio Kwenye Kila Kitu
Vitu Vingi havitaonesha Matunda Kwa mara ya Kwanza, ya pili na ya Tatu…ya Nne ndo Matokeo yanaonekana So jipe Muda!
7). Acha Kulaumu Watu Kutokana na Hali Yako ya Sasa
Kulaumu Watu Wengine ni Mindset ya Kimasikini…
Ukweli ni Kwamba:
Hali Yako ya Sasa sio Makosa Ya:
Wazazi wako, Ndugu, Marafiki Wala serikali
Ni Jukumu Lako Kwa 100%
8). Chagua Mentor Sahihi wa Kujifunza Kutoka kwake
Haijalishi unajifunza Nini Bali unajifunza Kutoka Kwa nani
… Kwasababu Mentor Wako Ndio Kioo Cha Maisha unayoyataka
9).Wanafanya EXPERT Business Kuliko TRADITIONAL Business
Kwakifupi Watu Wengi Wanabaki Kuwa Masikini Wa Kutupwa Kwa Sababu
AKILI Zao Zimekalilishwa Kufanya Kazi Au Biashara Zilizopitwa Na Wakati
Na Hii Ndiyo AINA Ya BIASHARA Inayoningizia PESA Kama MCHAWI Hata kama Nikiwa Nimelala FOFO!
…Bado Huniamini SIO?
OK…Hebu Chungulia Hapa Chini Ujionee Mwenyewe MAOKOTO Yanavyoingia Kwenye ACCOUNT Yangu Kila Dakika…
Ukweli Ni KWAMBA Binamu…
Tupo Kwenye Dunia ya Watu…na Watu Ndio Wenye Pesa Sio Vitu…
Na Hapa sizungumzii Watu kama Watu…
Nazungumzia Watu SAHIHI Kama Wewe Unayesoma Hapa sasa hivi
Kwasababu…
Sio kila Mtu ni Sahihi Kwako
Ukweli Mchungu Kuhusu Watu ni Kwamba:
“Wewe ni Wastani wa Watu 5 Unaotumia Muda Mwingi Kuwa Nao”
Mfano:
Kama Muda wako Mwingi unatumia Kukaa na Matajiri 9…
…basi Wewe Utakuwa Tajiri wa 10 Muda sio Mrefu
Hivyo hivyo pia kama unatumia Muda Mwingi Kukaa na…
Masikini ambao Muda Mwingi wao ni Kulalamika Na…
Kulaumu Serikali na Kubishana Kuhusu Simba &Yanga…
…Basi tegemea Kuwa Masikini ajaye pia
….Na Hii ni FACT!…
Kwanini Nakwambia yote Haya?…
Kwasababu:
Wengi Huwa tunakuja Kushtuka Wakati Ambao Tayari ni…
….”TOO LATE”
Tafiti zinasema:
“Watu Wengi wanakujaga Kushtuka Kuhusu Vitu Hivi
wakiwa na Umri wa Miaka 57-69″
Wanaishia Kupata Pressure na Depression na Wengine
Hata Kupoteza Maisha
Wanakuwa hawana Chochote Cha Kubadilisha Kutokana
na Nguvu na MUDA kuwatupa Mkono
Kwahiyo:
Epuka Kunaswa Kwenye Huo Mtego!
Hakuna Kitu kinachoumiza uzeeni kama
MAJUTO….(Regrets)
NA…
Baada ya kujifunza siri Hizi, akili yangu ilibadilika kwa
namna ambayo sikuwahi kufikiria Kabla…
Nilianza kuona fursa mahali ambapo wengine waliona
vikwazo.
Kuanzia Siku Hiyo Nilianzisha Biashara Ya Kuuza Nguo Pale Msimbazi B Kariakoo
Mwezi wa kwanza, nilijawa na matumaini…
Niliweka juhudi nyingi na akili yangu yote katika biashara Ile
Lakini, bahati mbaya,
Ni Kwamba…
Ndani ya miezi mitatu tu, biashara ilikufa Nikabaki MASIKINI Wa Kutupwa
Nilijitahidi sana kuelewa ni wapi nilikosea,
LAKINI…
Niligundua Huu Ndio MTEGO Unaokufilisi PESA Zako Kwenye Biashara Yako Na…
…Kukufanya Uwe MASIKINI…Milele! (Tena Bila Wewe Kujua)
Na Hizi Ndizo Sababu Kubwa Zinazofanya Biashara Nyingi Kufa (Kufilisika)
1). Ukosefu wa Utafiti wa Soko (a.k.a NICHE)
Nilianza biashara yangu bila kufanya utafiti wa kutosha kuhusu Maumivu,AIBU,Desire Na HOFU ya wateja.
2). Ushindani Mkali:
Hii Ni Changamoto ya wafanyabiashara Wengi Mno
Ambao Bado Wanatumia Mbinu za Kizamani Kutangaza Biashara Zao.
3). Ukosefu wa Mtaji wa Kutosha;
Pamoja Na Changamoto Zingine Kibao unazozijua…
NA…
Baada ya biashara yangu ya kuuza nguo Kariakoo kufa
ndani ya miezi mitatu tu, nilihisi kama ndoto zangu zote zimevunjika
Nilijikuta nikikosa mwelekeo, nikiwa nimejaa maswali bila majibu
Unahisi Nini Kilitokea Baada Ya Hapo?
NDIYO Upo Sahihi
Nilipata STRESS Na Msongo Wa Mawazo Mpaka NGUVU ZA KIUME Zilipungua Na MASHINE Yangu Ikanywea Ndani Kama Ya Mtoto
Naona Hadi AIBU Kulisema Hili Mpaka Mpenzi Wangu Sarah Alinipiga Kibuti Kisa Sikuweza Kumpa PESA Ya Matumizi…
LAKINI…
Kama…BAHATI Tu!
Siku moja, nikiwa Nimejikatia Tamaa nasoma UDAKU kwenye mitandao ya kijamii,
Nilikutana na mtu aliyebadilisha maisha yangu Milele!
– mentor wangu wa sasa Anaitwa:
IMAN MOSSES:
Huyu Kijana Aliyefanikiwa Sana Katika Biashara Hii Unayoenda Kuiona Ndani Ya Sekunde 60 Zijazo Anaingiza Dollar $11,719.3 Hiyo Ni Zaidi Ya Millioni 32M+ Kila Mwezi
Niliona tangazo lake kwenye Facebook…
“likizungumzia mfumo mpya wa biashara kupitia mtandao”
Alikuwa akiongelea jinsi watu wengi walivyojikwamua
kiuchumi kwa kutumia mbinu rahisi za kidigitali,
Tena Kwa Muda Wako Wa Ziada Angalau (Masaa 3-4 Kwa Siku!)
Kwa kuwa nilikuwa Napitia MSOTO Wa Maisha, nilijaribu kuwasiliana naye moja kwa moja.
Hatua hiyo ndogo iligeuka kuwa uamuzi muhimu zaidi maishani mwangu
KWANI:
Alinifundisha hatua kwa hatua, akinionyesha jinsi ya…
kutumia fursa za mtandaoni kujenga biashara bila
gharama kubwa wala shinikizo la kukodisha maduka
Aliweka wazi mfumo huu Mpya wa biashara ambao
unaniwezesha kufanya kazi popote, na hapo…
…Ndipo nilipogundua kuwa Hii Ndiyo Aina Ya BIASHARA
Itakayokulipa MAISHA YakoYote Hata Kama Una Miaka 97+
“Charles Ni Aina gani Hiyo Ya Biashara?…
Usijali Soma Mistari Michache Tu HAPA Chini Kwa Makini Nimeelezea Kila Kitu…
NA…Hii Ni Biashara Inayofanyika Kwa Mfumo Wa…
“Income Leverage System”
Ni Mfumo MPYA Wa Biashara Uliothibitishwa Unakuruhusu Kutengeneza PESA Nyingi Kupitia Mitandao Ya Kijamii Bila Kikomo Hata Kama Huna Mtaji Mkubwa…
NA:
Kuna…
…Faida Zaidi Ya 3X! Za UHAKIKA 100% (GUARANTEED)
NA:
Huu ndio Mfumo mpya wa Biashara Halali Mtandaoni Utakao kupa…
“Faida Kuu 5 za Kunufaika na Biashara Kwa Kuuza Bidhaa Au Huduma Online…
Achana Na BIASHARA Za KITAPELI Kama Zile Za Kina KALYNDA Ecommerce, LBL Nk. Hizo Zote Ni PONZI SCHEM Za Kitapeli
Kwa SABABU Hazina Physical Products Zinazouza…
Yaani Unaambiwa Ucheze GAMES Tu Kisha Ulipwe Serious?
Ingekuwa PESA Ni Rahisi Hivyo Si Kila Mtu Angekuwa Tajiri
Kwahiyo Ili Utengeneze PESA Halali Mtandaoni Ni Lazima Uwe Na Bidhaa au Huduma Yenye Uthamani…
NA:
Hivi Ndivyo Navyotengeneza PESA kama WAZIMU…
Angalia jinsi Mfumo Huu Unavyo Print PESA
online Hata kama Nimelala..






Na Kupitia Mfumo Huu Wa BIASHARA Nimeweza Kununua GARI Ya Ndoto Yangu AUDI Q5 Yenye Thamani Ya 43M+ Ndani Ya Mwaka MMoja Tu!
![IMG_7415[1]](https://mkwanja.co.tz/wp-content/uploads/2025/12/IMG_74151.jpg)
Kwahiyo…
BIASHARA…Hii inakupa nafasi ya kumiliki mali isiyohamishika,
kukuwezesha kuwa na maisha bora zaidi.
NA…
Bahati Nzuri Ni Kwamba Mfumo Huu Mpya Wa Biashara…
-Huhitaji Kuwa Na Mtaji mkubwa Kuanza
-Huhitaji Kuwa Bidhaa Yako Mwenyewe
-Huhitaji Kuwa Na FREMU Au Duka
-Huhitaji Kulipia KODI Ya Pango
Je Upo Tayari Kuanza Kutengeneza Kuanzia Tshs 1,000,000 Kila Mwezi Kupitia INSTAGRAM Yako…?
…Basi Nimekusanya Na Kukuwekea SIRI Zote Zitakazo Kusaidia Kugeuza Smartphone Yako Kuwa ATM Mashine Ya Kuchapisha PESA Mtandaoni Na Kuziweka Katika PROGRAMU Hii Inayoitwa:
ONE~O~ONE MENTORSHIP
Kwahiyo… Unachotakiwa Kufanya Sasahivi Ni…
NA:
Hizi Ni Nusu Tu Ya SIRI Zinazokusubiri Uzingundue Katika Mentorship Hii…
✅ Instagram Theme Pages Setup (Step-by-Step)
Nitakuonyesha jinsi ya kuanzisha ukurasa unaouza kuanzia jina, bio, hadi muundo wa post — hatua kwa hatua, bila kukuruka kitu.
✅ Kuchagua Niche Sahihi (Afya + High Demand Market)
Watu wengi hushindwa kuuza kwa sababu wanauza kitu ambacho hakuna anayehitaji.
Utajifunza jinsi ya kuchagua niche yenye maumivu halisi na Yenye pesa tayari, sio kubahatisha.
✅ Free Traffic System (Bila Ads Mwanzoni)
Huna haja ya kuanza na matangazo ya kulipia….
Utatumia mfumo wa bure unaovutia watu sahihi kila siku kwa content na algorithm — mfumo Uliomwingizia Mwanafunzi Wangu Husna Tshs 2,056,700 Ndani Ya Mwezi Wa Kwanza Tu
✅ Content Strategy Inayouza (Canva + AI)
Utapata muundo wa content unaobadilisha views kuwa mazungumzo, na mazungumzo kuwa mauzo — hata kama hujawahi ku-create content kabla.
✅ Sales Mechanism Rahisi (DM → Mauzo)
Utajifunza Script rahisi ya SIRI inayofanya mteja ajiuze mwenyewe kwa kuulizwa maswali sahihi, sio kushinikizwa.
✅ One-On-One Support (Mimi Mwenyewe)
Hautakuwa peke yako.
Utapata msaada wa moja kwa moja, marekebisho ya makosa, na mwongozo binafsi hadi uanze kuona mwelekeo wa matokeo.
NA:
Sio hivyo tu…
Kama Utajinyakulia OFA hii ndani ya Masaa 6 kuanzia sasa hivi Utapata hizi
BONASI Hapa Chini Zenye Thamani ya Tshs 375,000 BURE Kabisa…
BONASI #1: Utaungwa BURE Kwenye Group La VIP (Mentorship
Support) Nitakusimamia Siku 90 Hadi Utimize Malengo Yako…(Wengine Hulipia Tshs 50,000)
BONASI #2: Utapata FREE RECORDED Masterclass Inayoelezea
Hatua kwa hatua jinsi ya Monetize ACCOUNT Zako Za
Facebook,Instagram &TikTok…(Huwa Inauzwa Tshs 45,000)
BONASI #3: Utapata FREE RECORDED Masterclass Hatua Kwa
hatua jinsi ya kutengeneza Matangazo Yenye Kunasa Wateja
Mtandaoni Kwa Kutumia CANVA…(Huwa Inauzwa Tshs 65,000)
BONASI #4: Utapata BURE eBook Yangu MPYA Yenye
Mkusanyiko Wa Headline 99 Zinazouza Mtandaoni Hapa Bongo
Inayoitwa “Hooks Sekunde 3”…(Huwa Inauzwa Tshs 75,000)
“Utakopi Tu & Kupesti hizi Headlines kwenye Matangazo yako ya
kuuza bidhaa /Huduma Zako mtandaoni”
BONASI #5: Utapata BURE My Secret PDF Ya Jinsi Ya Kusuka OFA
Ya Kufa Mtu Ambayo Itamfanya Mteja Wako Ajione MJINGA Kama
Hatajinyakulia OFA Yako…(Huwa Inauzwa Tshs 35,000)
“Na Si Hivyo Tu…Good News” Ni Kwamba…
…Kama Utalipia Sasa hivi Nitakupa MFUMO Mzima
Wa Biashara Yangu BURE Kabisa…
Ambayo Itakuwa…
BONASI #6: Utapata VIDEO Iliyo Rekodiwa KISIRI Ya Jinsi
Ya kutengeneza MFUMO Utakaofanya Kazi Bila Uwepo Wako 24/7
Hata Kama Umelala…
…Mfumo huu ni Maarufu Kama….(Landing page)(Thamani Yake Ni Tshs 250,000)
Secretes: Huu Ni Mfumo Unaowatajirisha Mamilioni Ya
Wajasiliamari Walioshtuka Kwa Sasa hivi
Mfano Kuna Hawa Rafiki zangu Mr AHAZI NGESSY Na AMOS MWITA, Walikuwa…
Wakipiga Simu Mara 25 Kwa siku Ili Niwafundishe Mfumo Huu
Na Ndani Ya Mwezi Mmoja Tu Waliweza Kutengeneza Zaidi Ya
Millioni 10M+ Na Amos Kufika 3M+…
Kama Huniamini Angalia Hapa Wanachosema…
Ndani ya Masaa 6 Utaweza Kuipata “ONE~O~ONE MENTORSHIP”
Pamoja na BONASI Zenye Thamani ya Tshs 375,000 Kwa Malipo ya…
Tshs 375,000 Punguzo La 98%
Kulipia Kwa Bei Hii Yamebaki Masaa…
Kikubwa zaidi ni kwamba baada ya Kulipia Mentorship Hii…
…Utalindwa na Hii GUARANTEE Hapa Chini…
“Kama ndugu zako na marafiki zako wa karibu hawatakwambia
UMEBADILIKA na umekuwa MPYA baada ya kuanza Biashara Hii
au kama Utatumia $200 Kwenye Matangazo Na Usitengeneze
Faida Ya $800 ndani ya siku 60 zijazo…basi Dai Pesa yako na
Nitakurudishia bila kukuuliza swali Lolote…Kwahiyo Hakuna RISK
Yoyote upande wako”
Chaguo ni Lako Rafiki Yangu….Aidha uendelee kubaki vile vile kama ulivyokuwa mwaka Jana Au Ufanye Maamuzi Sasa hivi na Ubadilishe kila kitu ndani ya 2026!
TAFADHALI: Nafasi za watu Watakaopata BONASI Zote ni Watu 11 Tu! Wa Kwanza….Kwahiyo Wahi LIPIA Sasahivi Kabla Hazijanyakuliwa zote
P. S. Ukweli ni kwamba Ukichelewa Kulipia Leo Utazikosa
BONASI zote…na Kuanzia Kesho Bei Ya Mentorship Itarudi
kwenye Bei yake ya kawaida ambayo ni Tshs 275,000
…Lakini Leo bado unaweza Kuipata Pamoja na
BONASI Zake Zenye Thamani ya Tshs 375,000 kwa Malipo Kiduchu ya:
Tshs 375,000 Punguzo La 98%
Kulipia Kwa Bei Hii Yamebaki Masaa…
Hey! Bado Upo
Yawezekana Unajiuliza Hili Swali
Mentor Charles, Kwani…
● Je Ofisi Yenu Inapatikana Wapi Hapa
Tanzania?
-Well, Ofisi Kuu Ipo Dar es Salaam, Mlimani city
Lakini Haya Mafunzo Yanatolewa Online 100%
Kwahiyo Huna Cha Kupoteza Kabisa Mkuu!